Dar Yaendelea Kuwa Tishio UMITASHUMTA Mkoani Mtwara

IKIWA leo ni Siku ya Nne tangu kufunguliwa kwa mashindano ya UMITASHUMTA na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) ufunguzi uliofanyika kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona Mkoani Mtwara, timu ya Mkoa wa Dar es Salaam imeendelea kuwa tishio kwenye mashindano hayo kwa kupata ushindi Mkubwa katika michezo mbalimbali